Uongozi wa Hospitali Mawenzi wataja sababu kukosea maiti iliyozikwa Chalinze
Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro Mawenzi, umesema mkanganyiko uliotokea wa kuchanganya miili ya marehemu, ulitokana na marehemu Idd Semindu wa Chalinze, kutokuwa na ndugu...